Font Size
Yohana 21:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 21:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Asubuhi na mapema siku iliyofuata Yesu akasimama ufukweni mwa bahari. Hata hivyo wafuasi wake hawakujua kuwa alikuwa ni yeye Yesu. 5 Kisha akawauliza, “Rafiki zangu, mmepata samaki wo wote?”
Wao wakajibu, “Hapana.”
6 Yesu akasema, “Tupeni nyavu zenu kwenye maji upande wa kulia wa mashua yenu. Nanyi mtapata samaki huko.” Nao wakafanya hivyo. Wakapata samaki wengi kiasi cha kushindwa kuzivuta nyavu na kuziingiza katika mashua.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International