Add parallel Print Page Options

16 Yesu akamwambia, “Nenda kamwite mumeo kisha urudi naye hapa.”

17 Mwanamke akajibu, “Lakini mimi sina mume.”

Yesu akamwambia, “Uko sahihi kusema kuwa huna mume. 18 Hiyo ni kwa sababu, hata kama umekuwa na waume watano, mwanaume unayeishi naye sasa sio mume wako. Huo ndiyo ukweli wenyewe.”

Read full chapter