Font Size
Yohana 4:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 4:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 Hivyo akaondoka Uyahudi na kurudi Galilaya.
4 Barabara ya kuelekea Galilaya ilimpitisha Yesu katikati ya nchi ya Samaria. 5 Akiwa Samaria Yesu akafika katika mji wa Sikari, ulio karibu na shamba ambalo Yakobo alimpa mwanawe Yusufu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International