Font Size
Yohana 4:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 4:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Katika safari hiyo ilimbidi apitie Samaria.
5 Akafika kwenye mji mmoja wa Samaria uitwao Sikari, karibu na lile shamba ambalo Yakobo alimpa mwanae Yusufu. 6 Kisima cha Yakobo kilikuwa hapo na kwa kuwa Yesu alikuwa amechoka kutokana na safari, aliketi karibu na hicho kisima. Ilikuwa yapata saa sita mchana.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica