Font Size
Yohana 4:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 4:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Mama mmoja Msamaria akaja kuteka maji na Yesu akamwambia, “Naomba maji ya kunywa.” 8 Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula. 9 Yule mama akamjibu, “Wewe ni Myahudi na mimi ni Msamaria. Yawezekanaje uniombe nikupe maji ya kunywa?” -Wayahudi walikuwa hawashirikiani kabisa na Wasamaria.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica