Font Size
Yohana 4:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 4:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
7 Baadaye mwanamke Msamaria akaja kisimani hapo kuchota maji, na Yesu akamwambia, “Tafadhali nipe maji ninywe.” 8 Hili lilitokea wakati wafuasi wake walipokuwa mjini kununua chakula.
9 Mwanamke yule akajibu, “Nimeshangazwa wewe kuniomba maji unywe! Wewe ni Myahudi nami ni mwanamke Msamaria!” (Wayahudi hawana uhusiano na Wasamaria.[a])
Read full chapterFootnotes
- 4:9 Wayahudi … Wasamaria Au “Wayahudi hawatumii vitu ambavyo Wasamaria wametumia.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International