Font Size
Yohana 4:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 4:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Hili lilitokea wakati wafuasi wake walipokuwa mjini kununua chakula.
9 Mwanamke yule akajibu, “Nimeshangazwa wewe kuniomba maji unywe! Wewe ni Myahudi nami ni mwanamke Msamaria!” (Wayahudi hawana uhusiano na Wasamaria.[a])
10 Yesu akajibu, “Hujui kile Mungu anachoweza kukukirimu. Na hunijui mimi ni nani, niliyekuomba maji ninywe. Kama ungejua, nawe ungekuwa umeniomba tayari, nami ningekupa maji yaletayo uzima.”
Read full chapterFootnotes
- 4:9 Wayahudi … Wasamaria Au “Wayahudi hawatumii vitu ambavyo Wasamaria wametumia.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International