Font Size
Yohana 8:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 8:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Kisha Yesu akainama chini tena na kuendelea kuandika katika udongo.
9 Waliposikia hayo, wale watu walianza kuondoka mmoja baada ya mwingine. Wanaume wazee wakitangulia kwanza, na kisha wengine wakifuata. Wakamwacha Yesu peke yake na yule mwanamke akiwa amesimama mbele yake. 10 Kisha Yesu akainua uso wake tena na kumwambia, “Wameenda wapi hao wote? Je, hakuna aliyekuhukumu kuwa una hatia?”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International