Font Size
Yohana 14:2-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 14:2-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Kuna vyumba vya kutosha katika nyumba ya Baba yangu. Nisingewaambia hivi ikiwa isingelikuwa kweli. Ninaenda huko kuandaa mahali kwa ajili yenu. 3 Nitakapomaliza kuandaa, nitarudi. Kisha nitawachukua ili muwe pamoja nami mahali niliko.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International