Font Size
Mathayo 18:22
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 18:22
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
22 Yesu akamjibu, “Ninakwambia, ni lazima umsamehe zaidi ya mara saba. Ni lazima uendelee kumsamehe hata kama atakukosea saba mara sabini.[a]
Read full chapterFootnotes
- 18:22 saba mara sabini Ni idadi kubwa sana ya makosa, ikiwa na maana kuwa msamaha haupaswi kuwekewa kiwango.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International