Font Size
Luka 9:51-53
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 9:51-53
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Katika Mji wa Samaria
51 Wakati ulikuwa unakaribia ambapo Yesu alikuwa aondoke na kurudi mbinguni. Hivyo aliamua kwenda Yerusalemu. 52 Alituma baadhi ya watu kumtangulia. Waliondoka na kwenda katika mji mmoja wa Samaria, ili kumwandalia mahali pa kufikia. 53 Lakini watu katika mji huo hawakumkaribisha Yesu kwa sababu alikuwa anakwenda Yerusalemu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International