Font Size
Ufunuo 20:12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 20:12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
12 Na nikaona wale waliokufa, wakubwa na wadogo, wamesimama mbele ya kiti cha enzi na vitabu vilifunguliwa. Na kitabu cha uzima kilifunguliwa pia. Watu walihukumiwa kwa yale waliyotenda, kama yalivyoandikwa katika vitabu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International