Font Size
Matendo 28:8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 28:8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Baba yake Pablio alikuwa mgonjwa sana. Alikuwa na homa na alikuwa anaharisha damu, lakini Paulo alikwenda kwake na kumuombea. Aliweka mikono juu yake naye akapona.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International