Add parallel Print Page Options

24 Hivyo, kama Maandiko yanavyosema:

“Watu wote ni kama manyasi,
    na utukufu wao wote ni kama maua pori katika manyasi.
Manyasi yananyauka na kukauka,
    na maua yanapukutika,
25     bali ujumbe wa Bwana unadumu milele.”(A)

Na ujumbe huo ni habari njema iliyohubiriwa kwenu.

Read full chapter