Font Size
1 Petro 2:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Petro 2:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Jiwe Lililo Hai na Taifa Takatifu
2 Hivyo acheni uovu wote, pamoja na uongo, hali za unafiki na wivu na aina zote za kashfa. 2 Kama watoto wachanga, mnapaswa kuyatamani maziwa ya kiroho yaliyo safi, ili kwa ajili ya hayo muweze kukua na kuokolewa, 3 kwa vile mmekwisha kuujaribu wema wa Bwana.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International