Add parallel Print Page Options

Jiwe Lililo Hai na Taifa Takatifu

Hivyo acheni uovu wote, pamoja na uongo, hali za unafiki na wivu na aina zote za kashfa. Kama watoto wachanga, mnapaswa kuyatamani maziwa ya kiroho yaliyo safi, ili kwa ajili ya hayo muweze kukua na kuokolewa, kwa vile mmekwisha kuujaribu wema wa Bwana.

Read full chapter