Font Size
1 Petro 2:16-18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Petro 2:16-18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
16 Muishi kama watu walio huru, lakini msiutumie uhuru huo kama udhuru wa kufanya maovu. Bali muishi kama watumishi wa Mungu. 17 Onesheni heshima kwa watu wote: Wapendeni ndugu zenu na dada zenu waliomo nyumbani mwake Mungu. Mcheni Mungu na mumheshimu mfalme.
Mfano wa Mateso ya Kristo
18 Watumwa mlio nyumbani, watumikieni mabwana wenu kwa heshima yote,[a] siyo tu wale walio wapole na wenye busara, bali hata wale walio wakali.
Read full chapterFootnotes
- 2:18 kwa heshima yote Au “kwa heshima na taadhima kwa Mungu”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International