Font Size
1 Petro 2:17-19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Petro 2:17-19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
17 Onesheni heshima kwa watu wote: Wapendeni ndugu zenu na dada zenu waliomo nyumbani mwake Mungu. Mcheni Mungu na mumheshimu mfalme.
Mfano wa Mateso ya Kristo
18 Watumwa mlio nyumbani, watumikieni mabwana wenu kwa heshima yote,[a] siyo tu wale walio wapole na wenye busara, bali hata wale walio wakali. 19 Baadhi yenu mtapata mateso wakati ambapo hamjafanya kosa lolote. Ikiwa utaweza kuvumilia maumivu na kuweka fikra zako kwa Mungu, hilo linampendeza sana Mungu.
Read full chapterFootnotes
- 2:18 kwa heshima yote Au “kwa heshima na taadhima kwa Mungu”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International