Font Size
1 Petro 2:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Petro 2:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Hivyo, Maandiko yanasema,
“Tazameni, naweka katika Sayuni Jiwe la msingi katika jengo,
lililoteuliwa na kuheshimika,
na yeyote anayeamini hataaibishwa.”(A)
7 Inamaanisha heshima kwenu mnaoamini, bali kwa wasioamini,
“jiwe walilolikataa wajenzi
limekuwa jiwe la muhimu kuliko yote.”(B)
8 Na,
“jiwe linalowafanya watu wajikwae
na mwamba unaowafanya watu waanguke.”(C)
Walijikwaa kwa sababu hawakuutii ujumbe wa Mungu, na Mungu alisema hilo litatokea wasipotii.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International