Font Size
1 Timotheo 5:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Timotheo 5:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
10 Ni lazima ajulikane kwa mema aliyoyafanya: kulea watoto, kukaribisha wageni kwenye nyumba yake, kuwasaidia watu wa Mungu wenye uhitaji,[a] wenye shida, na kutumia maisha yake kufanya wema wa aina zote.
11 Lakini usiwaweke wajane wachanga katika orodha. Nguvu zao za mahitaji ya mwili zinawavuta wajiondea kwa Kristo, wanataka kuolewa tena. 12 Kisha watahukumiwa kustahili adhabu kwa kutofanya walichoahidi kutenda hapo kwanza.
Read full chapterFootnotes
- 5:10 kuwasaidia … uhitaji Kwa maana ya kawaida, “kuosha miguu”, mila ya utamaduni wa karne ya kwanza, kwa sababu watu walivaa viatu vya wazi na kutembea kwenye barabara za vumbi nyingi.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International