Font Size
1 Timotheo 5:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Timotheo 5:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
15 Lakini wajane wengine vijana wamegeuka na kumfuata Shetani.
16 Kama yupo mwanamke aliyeamini aliye na wajane katika familia yake, ni lazima awatunze yeye mwenyewe. Ndipo Kanisa halitakuwa na mzigo wa kuwatunza hao bali kuwatunza ambao hawana mtu yeyote wa kuwasaidia.
Mambo mengine zaidi juu ya Wazee na mengineyo
17 Wazee wanaoliongoza Kanisa katika njia nzuri wanapaswa kupokea heshima mara mbili;[a] hasa wale wanaofanya kazi ya kuhubiri na kufundisha.
Read full chapterFootnotes
- 5:17 heshima mara mbili Au “malipo mara mbili”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International