Font Size
1 Timotheo 5:17-19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Timotheo 5:17-19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mambo mengine zaidi juu ya Wazee na mengineyo
17 Wazee wanaoliongoza Kanisa katika njia nzuri wanapaswa kupokea heshima mara mbili;[a] hasa wale wanaofanya kazi ya kuhubiri na kufundisha. 18 Kama Maandiko yanavyosema, “Mnyama wa kazi akitumika kutenganisha ngano, usimzuie kula nafaka.”(A) Na Maandiko pia yanasema, “Mfanyakazi anatakiwa kupewa ujira wake.”(B)
19 Usimsikilize yeyote anayemshitaki mzee. Unatakiwa kuwasikiliza tu kama wapo wawili au watatu ambao wanaweza kusema alichokosea mzee.
Read full chapterFootnotes
- 5:17 heshima mara mbili Au “malipo mara mbili”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International