Font Size
1 Timotheo 5:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
1 Timotheo 5:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
21 Ninakuamuru mbele ya Mungu, na mbele ya Kristo Yesu na mbele ya malaika wateule, tekeleza maagizo haya pasipo kubagua wala upendeleo. 22 Usiwe na haraka kumwekea mtu mikono wala usishiriki katika dhambi za mtu mwingine, jiweke katika hali ya usafi.
23 Usiendelee kunywa maji tu bali tumia divai kidogo kwa ajili ya tumbo lako na maumivu yako ya mara kwa mara.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica