Font Size
1 Timotheo 6:20-21
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Timotheo 6:20-21
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
20 Timotheo, Mungu ameweka vitu vingi kwako uvitunze. Uvitunze vyema. Jitenge na watu wanaosema mambo yasiyofaa ambayo hayatoki kwa Mungu na wale wanaokupinga na “elimu” ambayo siyo “elimu” kabisa. 21 Watu wengine wanaodai kuwa na “elimu” wamepotea mbali kabisa kutokana na wanachoamini.
Ninaomba neema ya Mungu iwe kwenu nyote.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International