Font Size
1 Timotheo 6:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Timotheo 6:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
7 Tulipokuja ulimwenguni, tulikuja bila kitu, na tutakapokufa hatutachukua chochote. 8 Hivyo, kama tukiwa na chakula na nguo, tutaridhika navyo. 9 Watu ambao wanatamani kuwa matajiri wanajiletea majaribu wenyewe. Wananasa katika mtego. Wanaanza kutaka vitu vingi vya kijinga ambavyo vitawaumiza na kuwaharibu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International