Font Size
1 Wakorintho 12:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
1 Wakorintho 12:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
28 Na Mungu ameteua katika kanisa, kwanza mitume, pili manabii, tatu walimu, kisha watenda miujiza, kisha waponyaji, wasaidizi, watawala, wasemaji wa lugha mbalimbali. 29 Je, wote ni mitume? Au wote ni manabii? Wote ni walimu? Wote wanafanya miujiza? 30 Je, wote wana karama ya kuponya? Wote wanasema kwa lugha ngeni? Wote wanatafsiri lugha?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica