Font Size
1 Wakorintho 12:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
1 Wakorintho 12:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
29 Je, wote ni mitume? Au wote ni manabii? Wote ni walimu? Wote wanafanya miujiza? 30 Je, wote wana karama ya kuponya? Wote wanasema kwa lugha ngeni? Wote wanatafsiri lugha? 31 Basi takeni kwa moyo karama zilizo bora. Nami nitawaonyesha njia iliyo bora kupita zote.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica