Font Size
1 Wakorintho 12:30-31
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wakorintho 12:30-31
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
30 Si wote wenye karama ya uponyaji. Si wote wanaozungumza kwa lugha zingine. Si wote wanaofasiri lugha. 31 Endeleeni kuwa na ari ya kuwa na karama za Roho mnazoona kuwa ni kuu zaidi. Lakini sasa ninataka kuwaonesha njia iliyo kuu zaidi.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International