Font Size
1 Wakorintho 13:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wakorintho 13:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Upendo Uwe Dira Yenu
13 Ninaweza kusema kwa lugha zingine, za wanadamu au za malaika. Lakini ikiwa sina upendo, mimi ni kengele yenye kelele na tuazi linalolia. 2 Ninaweza kuwa na karama ya unabii, ninaweza kuzielewa siri zote na kujua kila kitu kinachopaswa kujulikana, na ninaweza kuwa na imani kuu kiasi cha kuhamisha milima. Lakini pamoja na haya yote, ikiwa sina upendo, mimi ni bure.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International