Font Size
1 Wakorintho 13:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
1 Wakorintho 13:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Kama nikitoa mali yote niliyo nayo, na kama nikitoa mwili wangu uchomwe moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu.
4 Upendo huvumilia, upendo hufadhili; upendo hauna wivu au majivuno.
5 Upendo hauna kiburi na haukosi kuwa na adabu. Upendo hau tafuti kujipendeza nafsi; haukasiriki upesi, hauweki orodha ya mabaya.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica