Upendo huvumilia, upendo hufadhili; upendo hauna wivu au majivuno.

Upendo hauna kiburi na haukosi kuwa na adabu. Upendo hau tafuti kujipendeza nafsi; haukasiriki upesi, hauweki orodha ya mabaya. Upendo haufurahii mabaya, bali hufurahia kweli.

Read full chapter