Font Size
1 Wakorintho 13:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wakorintho 13:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Upendo huvumilia na ni mwema. Upendo hauna wivu, haujisifu na haujivuni. 5 Upendo hauna kiburi, hauna ubinafsi na haukasirishwi kirahisi. Upendo hautunzi orodha ya mambo waliyoukosea. 6 Upendo haufurahi wengine wanapokosa, lakini daima hufurahia ukweli.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International