Font Size
1 Wakorintho 14:36-38
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wakorintho 14:36-38
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
36 Je, ni kutoka kwenu neno la Mungu lilikuja ama lilikuja kwa ajili yenu pekee? 37 Ikiwa yeyote kati yenu anafikiri kuwa yeye ni nabii au kwamba ana karama ya kiroho, anapaswa kuelewa kuwa ninachowaandikia ninyi nyote ni amri ya Bwana. 38 Ikiwa yeyote miongoni mwenu hatalikubali hili, basi hatakubaliwa.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International