Font Size
1 Wakorintho 15:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wakorintho 15:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Habari Njema hiyo, ujumbe mliousikia kutoka kwangu, ni njia ya Mungu kuwaokoa. Ni lazima mwendelee kuuamini. Ikiwa mtaacha, kuamini kwenu ni bure.
3 Niliwapa ujumbe nilioupokea. Niliwaambia ukweli muhimu zaidi ya kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama Maandiko yanavyosema; 4 kuwa alizikwa na alifufuliwa siku ya tatu, kama Maandiko yanavyosema
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International