Font Size
1 Wakorintho 15:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
1 Wakorintho 15:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Na kwamba alizikwa na kufufuka siku ya tatu, kama ilivyoandikwa katika Maandiko. 5 Na kwamba alimto kea Kefa, kisha akawatokea wale kumi na wawili. 6 Baadaye akawa tokea ndugu waamini zaidi ya mia tano kwa pamoja, na wengi wao wangali hai, ingawa wengine wameshakufa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica