Font Size
1 Wakorintho 15:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wakorintho 15:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 kuwa alizikwa na alifufuliwa siku ya tatu, kama Maandiko yanavyosema 5 na kwamba alimtokea Petro kisha mitume kumi na wawili. 6 Baada ya hilo, aliwatokea waamini wengine zaidi ya mia tano kwa wakati mmoja. Wengi wao bado wanaishi sasa, lakini wengine wamekwisha kufa.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International