Font Size
1 Wathesalonike 2:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wathesalonike 2:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
18 Ndiyo, tulitamani kuja kwenu. Mimi, Paulo, nilijaribu zaidi ya mara moja kuja kwenu, lakini Shetani alituzuia. 19 Ninyi ni tumaini letu, furaha yetu, na taji yetu tutakayojivunia wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu. 20 Mnatuletea heshima na furaha.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International