Font Size
1 Wathesalonike 2:19-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wathesalonike 2:19-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
19 Ninyi ni tumaini letu, furaha yetu, na taji yetu tutakayojivunia wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu. 20 Mnatuletea heshima na furaha.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International