Font Size
1 Yohana 5:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
1 Yohana 5:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
14 Na sisi tunao ujasiri huu mbele za Mungu kwamba, tukiomba cho chote sawa na mapenzi yake, atatusikia. 15 Na tukijua kwamba anatusikia kwa lo lote tunaloomba basi tuna hakika kwamba tumekwisha pata yale tuliyomwomba.
Umuhimu Wa Kuonyana
16 Mtu akimwona ndugu yake akitenda dhambi isiyompeleka kwe nye kifo, amwombee kwa Mungu, naye Mungu atampatia uzima. Ninasema kuhusu wale waliotenda dhambi ambazo si za kifo. Lakini ipo dhambi ambayo humpeleka mtu kwenye kifo. Sisemi kwamba ana paswa kuomba kuhusu hiyo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica