Font Size
1 Yohana 5:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Yohana 5:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
18 Tunajua kwamba wale waliofanyika watoto wa Mungu hawaendelei kutenda dhambi. Mwana wa Mungu anawahifadhi salama.[a] Yule Mwovu hawezi kuwagusa. 19 Tunajua kwamba sisi ni wa Mungu, Lakini yule Mwovu anautawala ulimwengu wote. 20 Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja na ametupa uelewa. Hivyo sasa tunaweza kumjua yeye aliye kweli, na tunaishi katika Mungu huyo wa kweli. Nasi tumo ndani ya mwanaye, Yesu Kristo. Yeye ndiye Mungu wa kweli, naye ndiye uzima wa milele.
Read full chapterFootnotes
- 5:18 Mwana … salama Kwa maana ya kawaida, “Yeye aliye aliyezaliwa kutokana na Mungu hutunzwa” au “anajitunza”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International