Font Size
1 Yohana 5:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Yohana 5:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
7 Kwa hiyo kuna mashahidi watatu wanao tuambia habari za Yesu: 8 Roho, Maji, na Damu. Mashuhuda hawa watatu wanakubaliana.
9 Tunawaamini watu wanaposema jambo llililo kweli. Lakini kile anachosema Mungu ni muhimu zaidi. Na Hivi ndivyo Mungu alivyotuambia: Alituambia ukweli kuhusu Mwanaye.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International