Font Size
1 Yohana 5:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Yohana 5:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Roho, Maji, na Damu. Mashuhuda hawa watatu wanakubaliana.
9 Tunawaamini watu wanaposema jambo llililo kweli. Lakini kile anachosema Mungu ni muhimu zaidi. Na Hivi ndivyo Mungu alivyotuambia: Alituambia ukweli kuhusu Mwanaye. 10 Kila amwaminiye Mwana wa Mungu anayo kweli ambayo Mungu alituambia. Lakini watu wasiomwamini Mungu wanamfanya Mungu kuwa mwongo, kwa sababu hawaamini kile ambacho Mungu ametueleza kuhusu mwanaye.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International