Font Size
2 Timotheo 1:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Timotheo 1:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Kwa Timotheo, mwanangu mpendwa. Ninakutakia neema, rehema na amani kutoka kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.
Paulo Amtia Moyo Timotheo
3 Ninamshukuru Mungu ninayemtumikia kwa dhamiri safi, kama walivyomtumikia baba zangu, ninapokukumbuka usiku na mchana katika sala zangu. 4 Nikiyakumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona ili nijazwe furaha.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica