Font Size
2 Timotheo 1:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
2 Timotheo 1:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Paulo Amtia Moyo Timotheo
3 Ninamshukuru Mungu ninayemtumikia kwa dhamiri safi, kama walivyomtumikia baba zangu, ninapokukumbuka usiku na mchana katika sala zangu. 4 Nikiyakumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona ili nijazwe furaha. 5 Nakumbushwa kuhusu imani yako ya kweli, imani ambayo walikuwa nayo bibi yako Loisi na mama yako Eunike na ambayo nina hakika, unayo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica