Font Size
2 Timotheo 1:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Timotheo 1:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Shukrani na Kutia Moyo
3 Daima namshukuru Mungu katika maombi yangu ninapokukumbuka usiku na mchana kwa ajili yako. Ni Mungu wa mababu zangu na daima nimemtumikia kwa dhamiri safi. 4 Nikiyakumbuka machozi yako kwa ajili yangu, ninatamani kukuona, ili niweze kujazwa na furaha. 5 Nimekumbuka imani yako ya kweli ambayo mwanzoni ilikuwa kwa bibi yako Loisi na kwa mama yako Eunike. Nami nashawishika hiyo iko kwako.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International