Font Size
2 Timotheo 1:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
2 Timotheo 1:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Nikiyakumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona ili nijazwe furaha. 5 Nakumbushwa kuhusu imani yako ya kweli, imani ambayo walikuwa nayo bibi yako Loisi na mama yako Eunike na ambayo nina hakika, unayo. 6 Kwa sababu hii nakukum busha ukichochee kile kipawa ulichopewa na Mungu wakati nilipo kuwekea mikono.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica