kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itakuwa nasi hadi milele.

Neema, huruma, na amani zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo Mwana wake zitakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.

Kweli Na Upendo

Nimefurahi sana kuona kwamba baadhi ya watoto wako wanadumu katika kweli, kama Baba alivyotuamuru.

Read full chapter