Font Size
2 Yohana 2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Yohana 2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itakuwa nasi hadi milele.
3 Neema, huruma, na amani zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo Mwana wake zitakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.
Kweli Na Upendo
4 Nimefurahi sana kuona kwamba baadhi ya watoto wako wanadumu katika kweli, kama Baba alivyotuamuru.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica