Font Size
2 Yohana 4-6
Neno: Bibilia Takatifu
2 Yohana 4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Kweli Na Upendo
4 Nimefurahi sana kuona kwamba baadhi ya watoto wako wanadumu katika kweli, kama Baba alivyotuamuru. 5 Na sasa, mama mpendwa, sikuandikii amri mpya, bali ile ile ambayo tumekuwa nayo kutoka mwanzo: kwamba tupendane. 6 Na upendo ni huu: kwamba tuishi kwa kuzifuata amri za Mungu. Na kama mlivyosikia tangu mwanzo, amri yake ni kwamba muishi maisha ya upendo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica