Font Size
2 Yohana 6-8
Neno: Bibilia Takatifu
2 Yohana 6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Na upendo ni huu: kwamba tuishi kwa kuzifuata amri za Mungu. Na kama mlivyosikia tangu mwanzo, amri yake ni kwamba muishi maisha ya upendo.
7 Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea duniani, watu wasiokiri ya kwamba Kristo alikuja kama mwanadamu. Mtu kama huyo ni mdanganyifu na mpinga-Kristo. 8 Jihadharini msije mkapoteza yale mliyoyafanyia kazi, bali mpewe thawabu kamili.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica