Add parallel Print Page Options

Na hii ndiyo maana ya kupenda: kuishi kulingana na amri zake. Na amri ya Mungu ni hii: Kwamba muishi maisha ya upendo. Mliisikia amri hii toka mwanzo.

Walimu wengi wa uongo wamo duniani sasa. Wana kataa kusema Yesu ni Masihi aliyekuja duniani na kufanyika mwanadamu. Kila anayekataa kuikubali kweli hii ni mwalimu wa uongo na adui wa Kristo. Muwe waangalifu! Msiipoteze thawabu tuliyokwisha[a] kuitendea kazi. Mhakikishe mnaipokea thawabu kamili.

Read full chapter

Footnotes

  1. 1:8 tuliyokwisha Nakala zingine za Kiyunani zina “mliyoyatenda”.