Font Size
3 Yohana 1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 Yohana 1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Salamu toka kwa mzee.[a]
Kwa rafiki mpendwa gayo, mtu ni mpendae kwa dhati.
2 Rafiki yangu mpendwa, najua kwamba unaendelea vizuri kiroho, kwa hiyo ninaomba kuwa mengine yote yaendelee vizuri pia nawe uwe na afya njema. 3 Baadhi ya waamini walikuja na kunieleza juu ya kweli[b] iliyo katika maisha yako. Waliniambia kuwa unaendelea kuifuata njia ya kweli. Hili lilinifanya nijisikie furaha sana.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International